Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 16, 2024
Habari Mpya
Wizara ya Maji yazindua Wiki ya Maji kwa matembezi
Jamhuri
Comments Off
on Wizara ya Maji yazindua Wiki ya Maji kwa matembezi
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu,Wizara ya Maji (wa nne kushoto) akikata utepe kuzindua Wiki ya Maji,akimwakilisha Waziri wa Maji,Mhe. Jumaa Hamidu Aweso. Uzinduzi wa Wiki ya Maji umefanyika katika Jengo jipya la Wizara ya Maji Mtumba Mjini Dodoma Leo Machi 16,2024 uliyoambatana na Matembezi kwa afya katika Mji wa Serikali Mtumba. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Watumishi wa Sekta ya Maji wakishiriki Matembezi ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa Wiki ya Maji leo machi 16,2024 katika Mji wa Serikali Mtumba. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Wizara ya Maji, Wanyenda Kutta (watatu kushoto) akiongoza matembezi kwa watumishi wa Wizara ya Maji pamoja na Taasisi zake, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Wakala Wa Maji Na Usafi Wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Mfuko wa Maji Taifa wa Maji na wadau wa sekta ya maji wakati wa matembezi na uzinduzi wa Wiki ya Maji katika jingo jipya la Wizara Mtumba jijini Dodoma leo Machi 16, 2024. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Post Views:
396
Previous Post
12 wafanyiwa upasuaji rekebishi wa macho Mloganzila
Next Post
Zungu asisitiza ulipaji kodi
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Habari mpya
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award
Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Kitengo cha Usawa wa Jinsia kutoka Taasisi ya Gates
Hivi ndivyo CCM inavyoiishi misingi ya Azimio la Arusha