Waziri Mkuu awasilisha Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025/26
JamhuriComments Off on Waziri Mkuu awasilisha Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025/26
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025 – 2026, bungeni jijini Dodoma, Aprili 9, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu, wakifuatilia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025 – 2026, bungeni jijini Dodoma, Aprili 9, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)