Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 24, 2023
Habari Mpya
Waziri Mkuu atembelea Maonesho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani Simiyu
Jamhuri
Comments Off
on Waziri Mkuu atembelea Maonesho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani Simiyu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa , Mwalimu wa panya wanaonusa na kubaini mate au makohozi yenye vijidudu vya ugonjwa wa Kifua Kikuu, Mariam Chamkwata wa Chuo Kikuu cha Kilimo, Sokoine cha Morogoro, katika maonyesho ya Maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu, Machi 24, 2023. Wa pili kulia ni Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteremka kutoka kwenye gari lenye maabara inayotumika kupima ugonjwa wa Kifua Kikuu katika maeneo mbalimbali wakati alipotembelea mabanda ya monyesho ya Maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, Machi 24, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja a Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani, Machi 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post Views:
261
Previous Post
Wadau watambua nia nzuri ya Serikali ya maboresho ya sheria ya habari
Next Post
NMB yatoa msaada wa milioni 39 sekta ya elimu Kanda ya Kati
Rais Samia ashusha neema umwagiliaji
Kituo cha kupoza umeme cha Uhuru wilayani Urambo kimekamilika
Tume ya TEHAMA yasisitiza umuhimu wa anuani za makazi
Marburg yatishia baa la njaa Biharamulo
TAKUKURU Kinondoni wafanya uchambuzi wa mifumo na kubaini upotevu na ufujaji wa fedha za umma
Habari mpya
Rais Samia ashusha neema umwagiliaji
Kituo cha kupoza umeme cha Uhuru wilayani Urambo kimekamilika
Tume ya TEHAMA yasisitiza umuhimu wa anuani za makazi
Marburg yatishia baa la njaa Biharamulo
TAKUKURU Kinondoni wafanya uchambuzi wa mifumo na kubaini upotevu na ufujaji wa fedha za umma
Mhagama : Serikali imefanya mageuzi makubwa sekta ya Afya, aipa tano MSD
Majaliwa : Tutaendelea kujiimarisha kiuchumi
CBE kuanza kutoa PhD ya infomatiki za baishara
Trump apiga marufuku wanamichezo wa kike waliobadili jinsia kushindana mashindano ya wanawake
Amuua mpenzi wake, naye ajiua kwa kujinyonga
Prince Rahim Al-Hussaini ateuliwa kuwa Aga Khan mpya
NCT yaendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa astashahada
LHRC yashinda kesi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
TMA,EMEDO waongeza nguvu usambazaji taarifa za hali ya hewa ziwa Victoria
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, akisisitiza maendeleo na uongozi bora