Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 20, 2023
Habari Mpya
UWT ilivyoshiriki kilele cha sherehe za miaka miwili ya Serikali ya Awamu ya Sita
Jamhuri
Comments Off
on UWT ilivyoshiriki kilele cha sherehe za miaka miwili ya Serikali ya Awamu ya Sita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Wananchi wakati akiwasili katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Sherehe za Kilele cha Miaka mawili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita iliyoandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) tarehe 19 Machi, 2023.
Viongozi mbalimbali wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) pamoja na Wananchi wa Mikoa mbalimbali wakiwa katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika Kilele cha Miaka mawili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Picha kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda kabla ya kuhutubia Kilele cha Miaka mawili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita kwenye Sherehe zilizofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Wananchi katika Sherehe za kilele cha Miaka mawili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita iliyoandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Machi, 2023.
Post Views:
243
Previous Post
Serikali yaandika historia nyingine Rufiji
Next Post
Rais Samia awataka wanawake kupaza sauti na kukemea changamoto zinazowakabili
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
Habari mpya
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award