Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 16, 2024
MCHANGANYIKO
RPC Mtatiro azindua kampeni ya usambazaji nishati ya kupikia nchini kati ya G4S na Oryx Gas
Jamhuri
Comments Off
on RPC Mtatiro azindua kampeni ya usambazaji nishati ya kupikia nchini kati ya G4S na Oryx Gas
Mkurugenzi mtendaji wa Oryx Tanzani, Mr. Benoit Araman(kushoto) akimsikiliza jambo Mkurugenzi mtendaji wa G4S, Imelda Lutebinga(kulia)wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia kwa kampuni ya G4S nchi nzima, Lengo likiwa kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani iliyoanzishwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.Hafla hiyo ilifanyika jana jijini Dar es salaam
.
Kamanda wa Polisi kinondoni, RPC Mtatiro Kitinkwi (katikati)pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Oryx Tanzani, Mr. Benoit Araman(kushoto) na Mkurugenzi mtendaji wa G4S, Imelda Lutebinga wakizindua kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ikiwa ni kampeni mahusus ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia kwa kampuni ya G4S nchi nzima, Lengo likiwa kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani iliyoanzishwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.Hafla hiyo ilifanyika jana jijini Dar es salaam.
Post Views:
416
Previous Post
Rais Samia afungua jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Rukwa
Next Post
Babati DC haijakurupuka bali imejipanga na miradi yenye Viwango -Mnzava
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Habari mpya
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award
Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Kitengo cha Usawa wa Jinsia kutoka Taasisi ya Gates
Hivi ndivyo CCM inavyoiishi misingi ya Azimio la Arusha
Baada ya kumaliza kazi ya kupeleka umeme vijijini sasa kasi inahamia vitongojini
Waziri Chana asisitiza ajenda ya kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali