Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 3, 2023
Kimataifa
Rais Samia azungumza Kampuni ya Kimataifa ya Power Holding Doha nchini Qatar
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia azungumza Kampuni ya Kimataifa ya Power Holding Doha nchini Qatar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023. Mazungumzo yao yalilenga zaidi masuala ya Elimu na jitihada za pamoja za kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali. Sheikha Moza pia ni Mwenyekiti wa Wakfu wa Qatar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kikao na ujumbe wa Kampuni ya Kimataifa ya Power Holding kuhusu maeneo mbalimbali ya Uwekezaji nchini Tanzania. Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Kampuni hiyo inayojihusisha na masuala kadhaa ikiwemo Ujenzi, Kilimo na Utalii, Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kikao na ujumbe wa Kampuni ya Kimataifa ya Power Holding inayojihusisha na masuala kadhaa ikiwemo Ujenzi, Kilimo na Utalii kuhusu maeneo mbalimbali ya Uwekezaji nchini Tanzania. Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Kampuni hiyo zilizopo Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifuatilia mawasilisho yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa Kampuni ya Kimataifa ya Power Holding kuhusu Uwekezaji wanaoufanya katika maeneo mbalimbali Duniani, Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
Viongozi mbalimbali wakifuatilia mawasilisho yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa Kampuni ya Kimataifa ya Power Holding kuhusu Uwekezaji wanaoufanya katika maeneo mbalimbali Duniani, Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Gilead Teri akizungumza kuhusu fursa mbalimbali za Uwekezaji zilizopo nchini Tanzania kwenye kikao pamoja na viongozi wa Kampuni ya Kimataifa ya Power Holding kilichofanyika Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
Post Views:
379
Previous Post
Waziri Mkuu ateta na baadhi ya mawazii, makatibu wakuu na wakuu wa mikoa
Next Post
Majaliwa atatua mgogoro wa ardhi Jiji la Mwanza
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Habari mpya
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais
Tanzania inatarajiwa mwenyeji Mkutano wa 19 wa Jukwaa la Korosho Afrika 2025
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine