Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 17, 2023
Habari Mpya
Rais Samia azindua mradi wa maji kutoka ziwa Victoria kwa ajili ya mji wa Shelui mkoani Singida
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia azindua mradi wa maji kutoka ziwa Victoria kwa ajili ya mji wa Shelui mkoani Singida
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi mara baada ya kuzindua mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya Mji wa Shelui katika hafla iliyofanyika kwenye Kijiji cha Kizonzo, Wilaya ya Iramba Mkoani Singida tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa India nchini Tanzania Mhe. Binaya Srikanta Pradhan wakati akielekea kuzindua mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya Mji wa Shelui katika hafla iliyofanyika kwenye Kijiji cha Kizonzo, Wilaya ya Iramba Mkoani Singida tarehe 17 Oktoba, 2023.
Wananchi wa Kijiji cha Kizonzo wakiwa kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya Mji wa Shelui tarehe 17 Oktoba,
Tangi kubwa lenye ujazo wa lita 300,000 likiwa limejengwa katika Kijiji cha Kizonzo kama sehemu ya mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya Mji wa Shelui tarehe 17 Oktoba, 2023
Please follow and like us:
Post Views:
215
Previous Post
Wizara ya Afya yawasilisha mapendekezo ya kuanzishwa kwa Taasisi
Next Post
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Rais Mstaafu Kikwete aongoza mahafali ya 53 ya duru la pili Mlimani City Dar es Salaam
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Habari mpya
Kuna uwezekano wa kiongozi wa Hamas kuuawa -IDF
Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025
Serikali kuwezesha vifaa vya uongezaji thamani madini ya vito na usonara kwa vijana wa TGC
MSD Kanda ya Dar yakutana na wadau wake kuboresha upatikanaji bidhaa za afya
Serikali yatangaza kiama kwa watumishi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Rais Samia mgeni rasmi Jublee ya miaka 50 ya Kanisa la AICT
Fahamu mabaraza ya vijana, ushawishi wake
Arusha, Urusi zakubaliana kushirikiana kwenye kukuza sekta ya utalii nchini
Afande asomewa mashtaka hospitali – Madeleka
Jenerali Mabeyo amlilia Mbuge
Rais Samia awapongeza vijana waliotembea Butiama – Mwanza
Kamati tendaji mradi wa SOFF yakutana kuidhinisha mpango kazi utekelezaji mradi
Korea Kaskazini yaiweka Korea Kusini kama ‘nchi adui’
Biashara ya kaboni motisha kuhifadhi mazingira
Huduma upakuaji mafuta kuboreshwa bandarini