Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 29, 2023
Habari Mpya
Rais Samia azindua mradi wa maji Kizimkazi kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia azindua mradi wa maji Kizimkazi kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia Maji mara baada ya kuzindua mradi wa Maji Kizimkazi tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Maji Kizimkazi katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi (hawaonekani pichani) mara baada ya kuzindua mradi wa Maji wa Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya ufunguzi wa hoteli ya Kitalii iitwayo Kwanza iliyopo Kizimkazi Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akivuta kitambaa kuzindua ukarabati wa Madarasa 11, Ofisi za Walimu pamoja na Maabara ya Tehama katika Skuli ya Msingi Kizimkazi Mkunguni kwa ufadhili wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF tarehe 29 Agosti, 2023 Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua vyumba vya madarasa vilivyokarabatiwa pamoja na chumba cha Tehama katika Skuli ya Kizimkazi Mkunguni tarehe 29 Agosti, 2023 Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Madarasa ya Skuli ya Kizimkazi Mkunguni mara baada ya ukarabati tarehe 29 Agosti, 2023 Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Post Views:
374
Previous Post
Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB
Next Post
Rais Samia azindua hoteli ya kitalii iliyopo Kizimkazi Kusini Unguja
TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa baadhi ya mikoa
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe
TPA yapeleka wafanyakazi 23 kuongeza ujuzi nchini Misri
Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanyakazi kwa weledi
Habari mpya
TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa baadhi ya mikoa
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe
TPA yapeleka wafanyakazi 23 kuongeza ujuzi nchini Misri
Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanyakazi kwa weledi
Mkuu wa shule ajiua kwa kunywa sumu
Watu 54 wauwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan
Mwanafunzi aliyejinyonga kwa mtandio azikwa
Majaliwa: Tanzania imejipanga maandalizi CHAN, AFCON
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais