Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 22, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa Suluhu Sports Academy eneo la Kizimkazi
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa Suluhu Sports Academy eneo la Kizimkazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la Msingi la ujenzi wa Suluhu Sports Academy katika eneo la Kizimkazi wakati wa shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi, Zanzibar tarehe 22 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi mara baada ya kuweka jiwe la Msingi ujenzi wa Suluhu Sports Academy katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar tarehe 22 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasikiliza Watoto wa Suluhu Sports Academy wakiimba mara baada ya kuwasili katika eneo la mradi, Kizimkazi Zanzibar tarehe 22 Agosti, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
247
Previous Post
Breaking News; Basi lagongana uso kwa uso la lori, wanne wafariki
Next Post
Madaktari nane wa DRC waja kujifunza JKCI
TASSIM yaandaa maonyesho ya viwanda vidogo Dodoma
Tanzania ya sita duniani kwa ongezeko la watalii
Benki ya Akiba yazindua kampeni ‘Tupo Mtaani kwako’
Vijana shikamaneni kulinda amani ya nchi yetu – Dk Biteko
Waziri Ndumbaro awataka wazazi kukemea mmomonyoko wa maadili
Habari mpya
TASSIM yaandaa maonyesho ya viwanda vidogo Dodoma
Tanzania ya sita duniani kwa ongezeko la watalii
Benki ya Akiba yazindua kampeni ‘Tupo Mtaani kwako’
Vijana shikamaneni kulinda amani ya nchi yetu – Dk Biteko
Waziri Ndumbaro awataka wazazi kukemea mmomonyoko wa maadili
Tamasha la utamaduni kitaifa lafunguliwa Songea
Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba