Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 8, 2023
Habari Mpya
Rais Samia awaandalia chakula cha jioni washiriki Mkutano wa AGRF Ikulu Dar
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia awaandalia chakula cha jioni washiriki Mkutano wa AGRF Ikulu Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wageni mbalimbali wakati wa Hafla ya Chakula cha jioni alichowaandalia Viongozi pamoja na Washiriki wa Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo ya African Food Prize 2023 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Pan-Afrika Bean Research Alliance (PABRA) ambaye pia ni Mkuu wa Mradi wa Maharage Dkt. Jean Claude Rubyogo kwa niaba ya Taasisi hiyo yenye Makao Makuu nchini Kenya wakati wa hafla ya Chakula cha jioni alichowaandalia Viongozi pamoja na Washiriki wa Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023. Katikati ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa African Food Prize akishuhudia
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango kwenye hafla ya Chakula cha Jioni kwa ajili ya washiriki wa Mkutano mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye akiwa kwenye hafla ya Chakula cha Jioni Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Goodluck Jonathan kando ya mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Goodluck Jonathan, Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Desalegn, viongozi wengine pamoja na mshindi wa African Food Prize 2023, Mkurugenzi wa Taasisi ya Pan-Afrika Bean Research Alliance (PABRA) ambaye pia ni Mkuu wa Mradi wa Maharage Dkt. Jean Claude Rubyogo (aliyeshika Tuzo) wakati Hafla ya Chakula cha jioni alichowaandalia Viongozi pamoja na Washiriki wa Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Post Views:
313
Previous Post
Bima ya afya kwa wote suluhu ya kudumu ya matibabu kwa rika zote
Next Post
Rais Mwinyi ashiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
Habari mpya
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award