Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 17, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia ashiriki Maadhimisho miaka 60 ya Jeshi la Polisi
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ashiriki Maadhimisho miaka 60 ya Jeshi la Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Shule ya Polisi Tanzania (TPS) kwa ajili ya kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi pamoja na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
88
Previous Post
Rais Samia anaamini katika ushirikiano na viongozi wa dini -Dk Biteko
Next Post
Gwaride la heshima la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais Samia
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Habari mpya
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao
Asilimia 75 ya Watanzania wanatumia simu za mkononi, milioniĀ 35 wanatumia mtandao wa intanenti
Uvimbe uliomtesa kwa miaka 10 watolewa na mabingwa wa Rais Samia
TASAC yakabidhiwa boti na Ofisi ya Waziri Mkuu kuimarisha ulinzi wa bahari
TAEC kuwa mlezi wa programu maalum ya diploma masomo ya teknolojia ya nyuklia
Lukuvi : Rais Samia hana deni huduma ya maji Ubungo
Mashindano ya kuogelea Afrika kufanyika Z’bar
Waziri Bashe awataka wakulima, wafugaji kuishi kwa amani
Matumizi ya TEHAMA mahakamani yamesaidia kupunguza mrundikano wa mashauri – Prof. Gabriel
Makonda abaini upotevu wa bil 1.3/- sekondari ya wasichana Longido