Rais Samia aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Dar
JamhuriComments Off on Rais Samia aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam Januari 23, 2023.