Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtembelea Askofu Mkuu wa Jimbo kuu Katoliki la Songea Baba Askofu Damian Dallu katika makazi yake yaliyopo Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Songea la Mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba, leo tarehe 23 Septemba, 2024.
Please follow and like us:
Pin Share