Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 3, 2024
Habari Mpya
Rais Samia akutana na wawekezaji na wamiliki wa makampuni ya Korea
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia akutana na wawekezaji na wamiliki wa makampuni ya Korea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifuatilia na kusikiliza kwa makini mazungumzo na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jionikilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Ujumbe wake wakati wa mazungumzo na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea. Mazungumzo hayo yaliambatana na hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi kuashiria kukubaliana na jambo wakati wa kikao maalum cha kazi kilichoambatana na hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Post Views:
282
Previous Post
Geita yatakiwa kuja na mradi wa Kaboni kuokoa mazingira
Next Post
Majaliwa : Serikali yenu ipo imara
Hivi ndivyo CCM inavyoiishi misingi ya Azimio la Arusha
Baada ya kumaliza kazi ya kupeleka umeme vijijini sasa kasi inahamia vitongojini
Waziri Chana asisitiza ajenda ya kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali
Wizara ya Afya Somalia yaichagua Tanzania kupitia MSD kushirikiana kwenye ugavi
Trump akiri kutokuwepo kwa amani ya kudumu Israel, Hamas
Habari mpya
Hivi ndivyo CCM inavyoiishi misingi ya Azimio la Arusha
Baada ya kumaliza kazi ya kupeleka umeme vijijini sasa kasi inahamia vitongojini
Waziri Chana asisitiza ajenda ya kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali
Wizara ya Afya Somalia yaichagua Tanzania kupitia MSD kushirikiana kwenye ugavi
Trump akiri kutokuwepo kwa amani ya kudumu Israel, Hamas
Timu ya wanasheria wa Samia yatoa elimu ya kisheria Mpanda
M23 watangaza kusitisha mapigano kupisha misaada ya kiutu
NEMC yasajili miradi ya maendeleo 105 Kanda ya Kati
Wafanyabiashara 774 kati ya 1,520 warejeshwa soko la Kariakoo
Wassira atembelea kaburi la baba wa Taifa
Mahakama ya Afrika yasema ni wakati wa Bara la Afrika kudai fidia
Soma Gazeti la Jamhuri Februari 4 -10, 2025
Uwanja wa AFCON Arusha wafikia asilimia 25
Rais Samia ataka Majaji kutokuwa Miungu watu na badala yake watoe haki bila upendeleo
Rais Samia: Mahakama ina mchango mkubwa kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake