Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
February 19, 2023
Habari Mpya
Rais Samia akutana na viongozi wa taasisi mbalimbali, Addis Ababa, Ethiopia
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia akutana na viongozi wa taasisi mbalimbali, Addis Ababa, Ethiopia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika Bi. Victoria Kwakwa aliyeambatana na ujumbe wake Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 19 Februari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Kundi la Mashirika ya Ndege ya Ethiopia Girma Wake Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 19 Februari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Kundi la Mashirika ya Ndege ya Ethiopia Girma Wake kabla ya mazungumzo yao Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 19 Februari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Kundi la Mashirika ya Ndege ya Ethiopia Girma Wake mara baada ya mazungumzo yao Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 19 Februari, 2023.
Please follow and like us:
Post Views:
117
Previous Post
Kiparang'anda yawaangukia wadau, yahitaji mil.7.3/- kumaliza ujenzi wa ofisi ya kata
Next Post
Ridhiwani achanja mbuga ziara yake ya kata kwa kata
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Habari mpya
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
Waziri Mhagama afurahishwa na MSD inavyookoa maisha ya watoto njiti
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao
Asilimia 75 ya Watanzania wanatumia simu za mkononi, milioni 35 wanatumia mtandao wa intanenti
Uvimbe uliomtesa kwa miaka 10 watolewa na mabingwa wa Rais Samia