Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 4, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa China XI Jinping
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa China XI Jinping
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping katika ukumbi wa The Great Hall of the People kabla ya kuanza mazungumzo jijini Beijing, tarehe 4 Septemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na ujumbe wake wakiwa kwenye kikao cha pamoja na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping na ujumbe wake katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing, tarehe 4 Septemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakishuhudia uwekaji saini wa hati ya makubaliano ya kuboresha reli ya TAZARA katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing, tarehe 4 Septemba, 2024.
Post Views:
246
Previous Post
Ubelgiji yaunga mono agenda ya nishati safi - Dk Biteko
Next Post
ISOC-TZ yawajengea uwezo vijana katika usimamizi wa mitandao
Uwanja wa AFCON Arusha wafikia asilimia 25
Rais Samia ataka Majaji kutokuwa Miungu watu na badala yake watoe haki bila upendeleo
Rais Samia: Mahakama ina mchango mkubwa kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake
Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 48 ya CCM
Serikali kufanya jitihada za kudhibiti madhara ya mmonyoko na kupanuka kwa kingo za mito
Habari mpya
Uwanja wa AFCON Arusha wafikia asilimia 25
Rais Samia ataka Majaji kutokuwa Miungu watu na badala yake watoe haki bila upendeleo
Rais Samia: Mahakama ina mchango mkubwa kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake
Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 48 ya CCM
Serikali kufanya jitihada za kudhibiti madhara ya mmonyoko na kupanuka kwa kingo za mito
Azma ya Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika wakati wote – Kapinga
Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini Dodoma
INEC yatoa vibali 157 elimu ya mpiga kura
Shabiki wa soka achomwa kisu hadi kufa wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Ghana
Kutoka bungeni Dodoma
Changamoto ya wafanyabiashara wageni kufanyakazi za Watanzania kutatuliwa
TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa baadhi ya mikoa
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe
TPA yapeleka wafanyakazi 23 kuongeza ujuzi nchini Misri