Rais Samia akizungumza na wananchi Handeni kwenye mkutano wa hadhara
JamhuriComments Off on Rais Samia akizungumza na wananchi Handeni kwenye mkutano wa hadhara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Handeni kwenye mkutano wa hadhara katika muendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani Tanga tarehe 25 Februari, 2025.