Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 3, 2024
Habari Mpya
Rais Samia akizungumza na viongozi Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia akizungumza na viongozi Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha kumbukumbu alipowasili Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga Jijini Seoul Jamhuri ya Korea kwa ajili ya kushiriki Hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) tarehe 03 Juni 2024. Kulia ni Rais wa Chuo hicho Bw. Hee Young Hurr
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo ya pamoja na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga Jijini Seoul Jamhuri ya Korea alipowasili Chuoni hapo kwa ajili ya kushiriki Hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) tarehe 03 Juni 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea Hee Young Hurr wakishiriki kupanda Mti mbele ya Jengo la Utawala la Chuo hicho wakati Mhe. Rais Samia alipowasili kwa ajili ya kushiriki Hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Cousa) tarehe 03 Juni 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea Dkt. Hee Young Hurr mara baada ya kushiriki kupanda Mti mbele ya Jengo la Utawala la Chuo hicho wakati Rais Samia alipowasili kwa ajili ya kushiriki Hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) tarehe 03 Juni 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akionesha Mti alioshiriki kuupanda mbele ya Jengo la Utawala la Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea. Wa pili kushoto ni Rais wa Chuo hicho Dkt. Hee Young Hurr, tarehe 03 Juni 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea Dkt. Hee Young Hurr wakati wakielekea kwenye ukumbi kwa ajili ya kushiriki Hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) Jijini Seoul Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho mara baada ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) Jijini Seoul Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni 2024.
Baadhi ya Viongozi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea wakiimba Wimbo wa Taifa wa Korea na Tanzania kwenye Hafla ya kutunuku Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) kwa Rais Samia Jijini Seoul Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni 2024.
Viongozi na Wanafunzi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea wakiwa katika Hafla ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) kwa Rais Samia Jijini Seoul Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni 2024.
Baadhi ya aina ya Ndege tofauti zinazotumika kwa ajili ya Mafunzo ya Vitendo katika Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga Jijini Seoul Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
275
Previous Post
Rais Samia atunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima Jamhuri ya Korea
Next Post
Maji rasilimali adimu duniani inayohitaji ulinzi - RC Ruvuma
Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini
Bashe atangaza neema mradi wa umwagiliaji Mkomanzi Korogwe
Naibu Waziri Mkuu apongeza Tume ya Madini kwa ukusanyaji maduhuli
Kim : Korea Kaskazini itatumia silaha za nyuklia iwapo itashambuliwa
Wizara ya Kilimo yaokoa shamba la ushirika Chauru Ruvu yalipa bilioni 16
Habari mpya
Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini
Bashe atangaza neema mradi wa umwagiliaji Mkomanzi Korogwe
Naibu Waziri Mkuu apongeza Tume ya Madini kwa ukusanyaji maduhuli
Kim : Korea Kaskazini itatumia silaha za nyuklia iwapo itashambuliwa
Wizara ya Kilimo yaokoa shamba la ushirika Chauru Ruvu yalipa bilioni 16
Rais Samia aja na hatua mpya katika maboresho ya fumo wa kikodi Tanzania
Dk Biteko kufungua Maonesho ya Madini Geita
Serikali yathamini mchango wa viongozi wa dini kwenye maendeleo
Uwepo wa umeme vijijini unachagiza matumizi ya nishati safi ya kupikia – Mhagama
Jaji Luanda atembelea Ofisi za Jamhuri Media
Mashambulio mapya ya Israel yapiga Beirut kusini
Idadi ya waliofariki Ziwa Kivu mashariki mwaDRC wafikia 78
TASAF yaagiza viongozi halmashauri kusimamia miradi kwa umakini zaidi
Ajali ya boti yaua takribani watu 50 Kongo Mashariki
Kim atishia kuisambaratisha Korea Kusini kwa nyuklia