Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 9, 2023
Kimataifa
Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya India
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya India
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya India Mhe. Dkt. Subrahmanyam Jaishankar aliyeambatana na ujumbe wake mara baada ya kuwasili New Delhi kwa ajili ya ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje ya India Mhe. Dkt. Subrahmanyam Jaishankar mara baada ya mazungumzo New Delhi nchini humo tarehe 08 Oktoba, 2023. Wengine pichani ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba, Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba pamoja na Balozi wa Tanzania nchini India Mhe. Anisa Mbega wa kwanza kulia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya India Mhe. Dkt. Subrahmanyam Jaishankar aliyeambatana na ujumbe wake mara baada ya kuwasili New Delhi kwa ajili ya ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023.
Post Views:
276
Previous Post
Kasi ya usambazaji dawa unaofanywa na MSD waondoa uhaba wa dawa
Next Post
Rais Samia akizungumza na wawekezaji na wafanyabiashara mbalimbali wa Tanzania nchini India
TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa baadhi ya mikoa
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe
TPA yapeleka wafanyakazi 23 kuongeza ujuzi nchini Misri
Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanyakazi kwa weledi
Habari mpya
TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa baadhi ya mikoa
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe
TPA yapeleka wafanyakazi 23 kuongeza ujuzi nchini Misri
Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanyakazi kwa weledi
Mkuu wa shule ajiua kwa kunywa sumu
Watu 54 wauwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan
Mwanafunzi aliyejinyonga kwa mtandio azikwa
Majaliwa: Tanzania imejipanga maandalizi CHAN, AFCON
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais