Rais Samia aipongeza Zanzibar kusimamia malengo ya Mapinduzi Matukufu kwa kuboresha elimu
JamhuriComments Off on Rais Samia aipongeza Zanzibar kusimamia malengo ya Mapinduzi Matukufu kwa kuboresha elimu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi mara baada ya kufungua Skuli ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar tarehe 08 Januari, 2025.