Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 16, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia afungua jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Rukwa
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia afungua jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Rukwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo tarehe 16 Julai, 2024. Rais Dkt.Samia anaendelea na Ziara yake ya kikazi Mkoani Rukwa ambapo pamoja na mambo mengine atazindua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kama ishara ya kufungua jengo la Utawala Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo tarehe 16 Julai, 2024. Mhe. Rais Dkt. Samia anaendelea na Ziara yake ya kikazi Mkoani Rukwa ambapo pamoja na mambo mengine atazindua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kutoka kwa Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa kabla ya ufunguzi tarehe 16 Julai, 2024.
Taswira ya Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo ambalo limefunguliwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 16 Julai, 2024.
Please follow and like us:
Post Views:
181
Previous Post
Matembezi ya utulivu rasmi kufanyika Julai 20
Next Post
RPC Mtatiro azindua kampeni ya usambazaji nishati ya kupikia nchini kati ya G4S na Oryx Gas
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Habari mpya
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
Waziri Mhagama afurahishwa na MSD inavyookoa maisha ya watoto njiti
Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao