Rais Samia afungua barabara ya Kidatu – Ifaraka na daraja mto Ruaha Mkuu
JamhuriComments Off on Rais Samia afungua barabara ya Kidatu – Ifaraka na daraja mto Ruaha Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Daraja la Mto Ruaha Mkuu upande wa Kilosa kabla ya Ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 tarehe 4 Agosti, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 tarehe 4 Agosti, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 ,tarehe 4 Agosti, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Barabara mara baada ya hafla ya ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133, tarehe 4 Agosti, 2024.a la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 ambalo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua, tarehe 4 Agosti, 2024.ais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kiwanda cha Sukari Kilombero (K4), tarehe 4 Agosti, 2024.defaultdefault