Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 19, 2023
Habari Mpya
Rais Samia afanya mazungumzo na Askofu Mwadhama Kardinali Rugambwa mkoani Tabora
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia afanya mazungumzo na Askofu Mwadhama Kardinali Rugambwa mkoani Tabora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa mara baada ya kuwasili katika Makazi yake Uaskofuni Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa mara baada ya kuwasili katika Makazi yake Uaskofuni Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023. Rais Samia alifika katika Makazi ya Baba Askofu Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa kwa ajili ya kumpongeza.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Tabora Mhashamu Baba Askofu Mkuu Paul Ruzoka mara baada ya kuwasili Uaskofuni Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na ujumbe wake akiwa kwenye Kikao na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Tabora Mhashamu Baba Askofu Mkuu Paul Ruzoka pamoja na ujumbe wao katika Makazi ya Baba Askofu Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa mara baada ya mazungumzo yao katika Makazi yake Uaskofuni Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Tabora Mhashamu Baba Askofu Mkuu Paul Ruzoka mara baada ya mazungumzo yao katika Makazi yake Uaskofuni Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na ujumbe wake wakati wakiombewa na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa Mkoani Tabora.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa mara baada ya mazungumzo yao.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiimba pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mary’s ya Mkoani Tabora wakati alipokwenda kumtembelea Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, tarehe 18 Oktoba, 2023. Shule hiyo ndiyo Shule ya Kwanza ambayo Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alifundisha kwa miaka mitatu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari St. Mary’s ya Mkoani Tabora wakati alipokwenda kumtembelea Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, tarehe 18 Oktoba, 2023. Shule hiyo ndiyo Shule ya Kwanza ambayo Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alifundisha kwa miaka mitatu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi ya joho Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa mara baada ya kuwasili katika Makazi yake Uaskofuni Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Post Views:
281
Previous Post
TMA yatoa angalizo la hali ya hewa mbaya kwa siku tano
Next Post
Watanzania waliokuwa Israel warejeshwa nyumbani
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
Habari mpya
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine
Ebola yathibitishwa Uganda, muuguzi afariki Kampala
Kiongozi wa M23 : Hatuondoki Goma, tunaitaka Kinshasa
Kisanduku cheusi cha ndege iliyoanguka Washington DC chapatikana
Rais Samia kuanza ziara ya kikazi Zimbambwe
Biashara saa 24 kuanza Februari 22
Wawili wafariki kwa mvua Moro
Milioni 466 kutolewa kwa vikundi Mafia