Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 1, 2023
Habari Mpya
Rais Mwinyi azindua kamati ya kuzuia udhalilishaji kijinsia
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi azindua kamati ya kuzuia udhalilishaji kijinsia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakisimama wakati Wimbo wa Taifa Ukipigwa katika hafla ya kuzindua Kamati ya Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar uliofanyika leo Ukumbi wa Idrisa Abdul Wakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kushoto) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (kulia) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Mhe.Rashid Simai Msaraka,Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said akifuatia Mkurugenzi Mastaka Zanzibar Mhe.Mgeni Jailani Jecha .[Picha na Ikulu] 01/06/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) akimkabidhi Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Bi.Mwanamkaa A.Mahmoud Hadidu Rejea,Kanuni na Mpango kazi wa Kamati ya Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar akiwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo mara baada ya kuizindua rami leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdul Wakil Kikwajuni Jijini Zanzibar,(kulia)Mkurugenzi Mastaka Zanzibar Mhe.Mgeni Jailani Jecha na (wa pili kushoto) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi.[Picha na Ikulu] 01/06/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake ya Uzinduzi wa Kamati ya Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar uliofanyika leo Ukumbi wa Idrisa Abdul Wakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kushoto) Mkurugenzi Mastaka Zanzibar Mhe.Mgeni Jailani Jecha ,Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Mhe.Rashid Simai Msaraka.[Picha na Ikulu] 01/06/2023.
Viongozi wa Taasisi mbali mbali na waalikwa wakiwa katika hafla ya Uzinduzi wa Kamati ya Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar uliofanyika leo Ukumbi wa Idrisa Abdul Wakil Kikwajuni Jijini Zanzibar,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.[Picha na Ikulu] 01/06/2023.
Baadhi ya Wakuu wa vyombo vya Usalama na Viongozi wengine wakiwa katika hafla ya Uzinduzi wa Kamati ya Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar uliofanyika leo Ukumbi wa Idrisa Abdul Wakil Kikwajuni Jijini Zanzibar,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.[Picha na Ikulu] 01/06/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) akisoma maelezo na majukumu ya Kamati ya Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar mara baada ya kufanya uzinduzi wa kamati hiyo leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdul Wakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kulia) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (kushoto) Mkurugenzi Mastaka Zanzibar Mhe.Mgeni Jailani Jecha na Mwenyekiti wa Kamati Hiyo Bi.Mwanamkaa A.Mahmoud.[Picha na Ikulu] 01/06/2023.
Post Views:
325
Previous Post
Watu 15 wafamilia moja wafariki kwa kunywa uji Namibia
Next Post
Jafo: Athari za mazingira zimesababisha mfumuko wa bei
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
Habari mpya
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine
Ebola yathibitishwa Uganda, muuguzi afariki Kampala
Kiongozi wa M23 : Hatuondoki Goma, tunaitaka Kinshasa
Kisanduku cheusi cha ndege iliyoanguka Washington DC chapatikana
Rais Samia kuanza ziara ya kikazi Zimbambwe
Biashara saa 24 kuanza Februari 22
Wawili wafariki kwa mvua Moro
Milioni 466 kutolewa kwa vikundi Mafia