Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 27, 2022
Kitaifa
Rais Mwinyi aweka jiwe la msingi kituo cha wajasiriamali Tumbe
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi aweka jiwe la msingi kituo cha wajasiriamali Tumbe
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akitembelea ujenzi wa Kituo cha Wajasiriamali Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Kituo hicho na (kulia kwa Rais ) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mkuu wa Kikosi cha KMKM Commodore Azana Hassan Msingiri na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Masoud Ali Mohammed.(Picha zote na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Kikosi cha KMKM Commodore Azana Hassan Msingiri akitowa maelezo ya Kituo cha Wajasiriamali Tumbe, wakati akitembelea Ujenzi huo baada ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi huo, na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe Masoud Ali Moh
ammed.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisoma maelezo ya Jiwe la Msingi la Kituo cha Wajasiriamali Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Kituo hicho akiendelea na ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi ya Maendeleo.
Muonekano wa milango ya maduka katika Kituo cha Wafanyabiashara na Wajasiriamali Tumbe kilichowekwa Jiwe la Msingi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kikiwa na Milango ya Maduka 54
Post Views:
146
Previous Post
Hali za wanafunzi waliopata ajali Mtwara zaendelea kuimarika
Next Post
Watalii 35 kutoka Israel watua Rombo
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Habari mpya
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia
Watu nane wafariki kwa ajali, wengine 36 wajeruhiwa
Chadema imepoteza ushawishi – Dkt. Slaa
Wizara ya Habari yatiliana saini makubaliano ya uwekezaji na Kampuni ya China
Vijana zaidi ya 500 kutoka mataifa mbalimbali wajadili haki ya kumiliki ardhi Arusha
Mti uliong’olewa kwa upepo mkali wajisimika tena, hofu yatanda
Marekeni yaendelea kuchunguza nyaraka za kijasusi zenye usiri mkubwa
Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wake
Mdomo umemponza Gachagua Kenya
Soma Gazeti la Jamhuri Oktoba 22- 28, 2024