Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 4, 2023
Habari Mpya
Rais Mwinyi akifungua pazia uzinduzi Bohari ya Mafuta Bandari ya Jumuishi Mangapwani
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi akifungua pazia uzinduzi Bohari ya Mafuta Bandari ya Jumuishi Mangapwani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) akifungua pazia kuzinduzia Bohari ya Mafuta katika Bandari ya Jumuishi Mangapwani Zanzibar,hafla iliyofanyika leo Mangapwani Wilaya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja,(kulia) Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Amani Abeid Karume na (katikati kushoto) Makamo wa Pili wa Rais Mhe.Hemedi Suleiman Abdulla.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Uzinduzi wa Bohari ya Mafuta katika Bandari ya Jumuishi Mangapwani Zanzibar,hafla iliyofanyika leo Mangapwani Wilaya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud (kulia) wakati alipotembelea Bandari ya Jumuishi Mangapwani Zanzibar,Wilaya kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja, kabla ya kuzindua rasmi Bohari ya Mafuta katika Bandari hiyo leo.[Picha na Ikulu].04/03/2023.
Post Views:
187
Previous Post
Maeneo ya kazi yaliyosajiliwa na OSHA yaongezeka
Next Post
Kila wagonjwa watatu wanaolazwa mmoja ana magonjwa yasiyoambukiza
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
Habari mpya
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award