Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 7, 2023
Habari Mpya
Rais Mwinyi ahutubia Jukwa la Mifumo ya Chakula barani Afrika
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi ahutubia Jukwa la Mifumo ya Chakula barani Afrika
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2023, uliyofanyika katika ukumbi wa Ruaha jengo la Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza katika Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2023,uliofanyika katika ukumbi wa Ruaha Kituo cha jingo la Mikutano ya Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Mawaziri wa SMZ na SMT wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza katika Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2023, uliofanyika katika ukumbi wa Ruaha jingo la Kituo cha Mikutano ya Kimataifa la Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
Washiriki wa Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2023,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza katika mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Ruaha jengo la Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi katika jukwaa kuu wakifuatilia Mada wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2023, na (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarian Desalegn na Waziri wa Kilimo Tanzania Mhe.Hussein Mohammed Bashe, wakifuatilia mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ruaha jengo la Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Desalegn baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Jukwaa la Mifuko ya Chakula Barani Afrika, uliyofanyika katika ukumbi wa Ruaha Kituo cha Jengo la Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo 7-9-2023.(Picha na Ikulu)
Post Views:
304
Previous Post
Waziri Mkuu atoa agizo kwa Naibu Waziri Mkuu Biteko
Next Post
Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), laweka mkazo uwekezaji maghala ya kisasa
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Habari mpya
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award
Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Kitengo cha Usawa wa Jinsia kutoka Taasisi ya Gates
Hivi ndivyo CCM inavyoiishi misingi ya Azimio la Arusha
Baada ya kumaliza kazi ya kupeleka umeme vijijini sasa kasi inahamia vitongojini
Waziri Chana asisitiza ajenda ya kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali
Wizara ya Afya Somalia yaichagua Tanzania kupitia MSD kushirikiana kwenye ugavi
Trump akiri kutokuwepo kwa amani ya kudumu Israel, Hamas
Timu ya wanasheria wa Samia yatoa elimu ya kisheria Mpanda
M23 watangaza kusitisha mapigano kupisha misaada ya kiutu
NEMC yasajili miradi ya maendeleo 105 Kanda ya Kati