Rais Mwinyi ahudhuria Maadhimisho Siku ya Sheria Zanzibar
JamhuriComments Off on Rais Mwinyi ahudhuria Maadhimisho Siku ya Sheria Zanzibar
Jaji Mkuu wa Zanzibar.Khamis Ramadhan Abdalla na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof.Ibrahim Khamis Juma wakifuatana pamoja na Majaji Wakuu wa Mahakama kuu Zanzibar wakiingia katika uwanja wa sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifuatana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan Abdalla (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid (kulia )wakati alipowasili katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika Leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Mwasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt.Talib Mwinyi Haji alipokuwa akitoa salamu zake katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi(hypo pichani) alikuwa Mgeni rasmi kaaika hafla hiyo.Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Prof.Ibrahim Khamis Juma alipokuwa akitoa salamu zake katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi (hypo pichani) alikuwa Mgeni rasmi kaaika hafla hiyo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akionesha kitabu cha Mahkama mara baada ya kukizindua leo katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja(kulia) Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Prof.Ibrahim Khamis Juma (kushoto) Jaji Mkuu wa Zanzibar Khamis Ramadhan AbdallaRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Tunzo kutoka kwa Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan Abdalla (kushoto) katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.Majaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahkama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini UngujaBaadhi ya Viongozi na Wananchi mali mali walioalikwa katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo viwanja vya Mahakama Kuu Tunguu,Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi .Picha na Ikulu