Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
January 9, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Mwinyi afungua wa skuli ya sekondari ya Tumekuja
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi afungua wa skuli ya sekondari ya Tumekuja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (kulia) alipotembelea darasa Kompyuta na Kuwasalimia Wanafunzi baada ya kuifungua Skuli ya Sekondari ya Tumekuja iliyojengwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 09/01/2024.
Wanafunzi wa Skuli mpya ya Tumekuja wakiwa katika chumba cha Maabara wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipotembelea madarasa mbali mbali baada ya kuifungua Skuli ya Sekondari ya Tumekuja iliyojengwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 09/01/2024.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa nne kulia) akifungua pazia kuashiria Ufunguzi wa Skuli ya Sekondari ya Tumekuja iliyojengwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akikata utepe kufungua Skuli ya Sekondari ya Tumekuja iliyojengwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (wa tatu kulia )Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, na Viongozi mbali mbali wakishuhudia
Baadhi ya walimu wakiwa katika hafla ya ufunguzi wa Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwiny, ambayo imejengwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 09/01/2024.
Wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alip[okuwa akitoa hutuba yake katika sherehe za Ufunguzi wa Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliyojegwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 09/01/2024.
Wakurugenzi na Maafisa mbali mbali wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe za Ufunguzi wa Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliyojegwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 09/01/2024.
Viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM,Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Maafisa wa Idara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliyojegwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 09/01/2024.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akiwapongeza Watoto waliosoma Utenzi Abdulkarim Mohamed na Hamisuu Juma kutoka Skuli ya Jendele Wilaya ya Kati,wakati wa sherehe za Ufunguzi wa Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliyojegwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrsa Kitwana Mustafa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi .[Picha na Ikulu] 09/01/2024.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (pichani kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe za Ufunguzi wa Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliyojegwa Mwembeladu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi hafla iliyofanyika leo katika shamra shamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe Leila Mohamed Mussa,Katibu Mkuu Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Katibu Mwenezi wa CCM Zanzibar Komred Khamis Mbeto.
Post Views:
404
Previous Post
PICU inavyookoa maisha ya watoto Muhimbili na kutoa mafunzo kwa wataalam nchini
Next Post
Waziri Saada: Serikali kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kazi kwa vikosi vya SMZ
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Habari mpya
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award
Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Kitengo cha Usawa wa Jinsia kutoka Taasisi ya Gates
Hivi ndivyo CCM inavyoiishi misingi ya Azimio la Arusha
Baada ya kumaliza kazi ya kupeleka umeme vijijini sasa kasi inahamia vitongojini
Waziri Chana asisitiza ajenda ya kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali