Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 14, 2022
Kitaifa
Rais Mwinyi afungua kongamano la sekta ya maji Kiembesamaki Unguja
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi afungua kongamano la sekta ya maji Kiembesamaki Unguja
Washiriki wa Kongamano la Wadau wa Sekta ya Maji wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja lililofanyika
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Sekta ya Maji lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatana na Waziri wa Maji, Nishati na Madini Mhe.Shaibu Hassan Kaduara pamoja na Viongozi wengine wakati alipowasili katika Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar leo kufungua Kongamano la Kimataifa la Maji lililotayarishwa Wizara kwa kushirikiana na Global Water Partnership Tanzania (GWP TZ) na taasisi mbali mbali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma kipeperushi wakati akitembelea banda la maonesho la Kampuni ya L&T Construction Water Effluent kutoka India,yaliyofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Wadau wa Sekta ya Maji lililofanyika katika ukumbi wa hoteli hiyo
Post Views:
229
Previous Post
Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe aliyemnyima 'unyumba'
Next Post
NEMC yateketeza tani 44.4 ya mifuko iliyopigwa marufuku
Amuua mpenzi wake, naye ajiua kwa kujinyonga
Prince Rahim Al-Hussaini ateuliwa kuwa Aga Khan mpya
NCT yaendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa astashahada
LHRC yashinda kesi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
TMA,EMEDO waongeza nguvu usambazaji taarifa za hali ya hewa ziwa Victoria
Habari mpya
Amuua mpenzi wake, naye ajiua kwa kujinyonga
Prince Rahim Al-Hussaini ateuliwa kuwa Aga Khan mpya
NCT yaendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa astashahada
LHRC yashinda kesi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
TMA,EMEDO waongeza nguvu usambazaji taarifa za hali ya hewa ziwa Victoria
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, akisisitiza maendeleo na uongozi bora
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia