Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 11, 2022
Kitaifa
Rais Mwinyi aenda Oman
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi aenda Oman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakisalimiana na kuagana na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akielekea Nchini Oman kwa ziara ya siku nne ya Kikazi Nchini humo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Oman kwa Ziara ya Kikazi ya Siku Nne Nchini humo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono na kuwaaga Viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyama vya Siasa, wakati akiondoa Nchini akielekea Nchini Oman kwa ziara ya Kikazi ya Siku Nne Nchini humo leo 11-10-2022.(Picha na Ikulu)
Post Views:
148
Previous Post
"Tuna imani na Bunge la Novemba kujadili<br>Maboresho Sheria ya Habari 2016'
Next Post
Majaliwa aongoza kikao cha nane cha Kamati Kuu ya Sensa
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, akisisitiza maendeleo na uongozi bora
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Habari mpya
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, akisisitiza maendeleo na uongozi bora
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award