Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 23, 2022
Habari Mpya
Rais Minyi afungua Masjid Huda Masingini KMKM
Jamhuri
Comments Off
on Rais Minyi afungua Masjid Huda Masingini KMKM
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kufungua Masjid Huda ulioko Masingini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 23-9-2022,kabla ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid hiyo (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mkuu wa Al Noor Charitable Agency Zanzibar.Sheikh Nadir Mahfoudh na Sheikh Luay Mohammed Mahfoudh na (kushoto kwa Rais) Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhaj Haroun Ali Suleiman.(Picha na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia Hutuba ya Sala ya Ijumaa ikisomwa na Sheikh Abdulkarim Said, iliyofanyika katika Masjid Huda Masingini baada ya kuufungua Msikiti huo leo 23-9-2022 na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhaj Haroun Ali Suleiman.(Picha na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Waumini wa Dini ya Kiislam Masingini Wilaya ya Magharibi “A”Unguja, baada ya kuufungua Msikiti huo na Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Huda leo 23-9-2022.(Picha na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Ufunguo wa Masjid Huda Imamu Mkuu wa Msikiti huo Sheikh Ali Rashid Khamis, baada ya kumalizika Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti huo uliofunguliwa leo 23-9-2022.(Picha na Ikulu)
Post Views:
247
Previous Post
Majaliwa aaga mwili wa Balozi Rupia
Next Post
NMB yatangaza wadhamini NMB Marathon 2022
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Habari mpya
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais
Tanzania inatarajiwa mwenyeji Mkutano wa 19 wa Jukwaa la Korosho Afrika 2025
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine