Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye
pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) akiongoza Kikao cha Baraza hilo Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2024.
Baadhi ya Mawaziri pamoja na Makatibu Wakuu waliohudhuria Mkutano wa 15 wa
Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2024.
Baadhi ya Wakuu wa Mikoa waliohudhuria Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2024.
Wajumbe wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Wafanyabiashara, Wakuu wa Mashirika Binafsi wakiwa kwenye Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2024.
Please follow and like us:
Pin Share