Rais Dk Samia amkabidhi zawadi ya picha, jezi ya Taifa Stars mmiliki wa Klabu ya Miguu ya Manchester
JamhuriComments Off on Rais Dk Samia amkabidhi zawadi ya picha, jezi ya Taifa Stars mmiliki wa Klabu ya Miguu ya Manchester
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi ya picha pamoja na Jezi ya Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) yenye Ujumbe wa, “Amaizing Tanzania” kwa Mmiliki wa Klabu ya Mpira wa Miguu ya Manchester United ya Uingereza Sir Jim Ratcliffe, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Aprili, 2025.