Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 23, 2024
MCHANGANYIKO
Rais akiangalia vikundi vya ngoma ya asili Ruvuma
Jamhuri
Comments Off
on Rais akiangalia vikundi vya ngoma ya asili Ruvuma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi mbalimbali vya ngoma za asili za Mkoa wa Ruvuma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songea kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani humo tarehe 23 Septemba, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa alipokuwa akitoa maelezo kuhusu mradi wa ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024. Mhe. Rais Dkt. Samia ameanza ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma ambapo pamoja na mambo mengine atakagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.
Post Views:
947
Previous Post
Rais Samia awasili Ruvuma kwa ziara ya kikazi
Next Post
Polisi: Tunawashikilia Mbowe na Lissu kwa kujihusisha na maandamano
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Habari mpya
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais
Tanzania inatarajiwa mwenyeji Mkutano wa 19 wa Jukwaa la Korosho Afrika 2025
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine