Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 14, 2022
Kitaifa
Rais ahudhuria Misa Takatifu ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere
Jamhuri
Comments Off
on Rais ahudhuria Misa Takatifu ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Makamu wa Rais Mhe. Philip Isdor Mpango, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Bukoba Methodius Kilaini, Mapadri pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya Misa Takatifu ya Kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki, Jimbo la Bukoba Mkoani Kagera tarehe 14 Oktoba, 2
022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Wageni Ofisini kwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Bukoba Methodius Kilaini mara baada ya Misa Takatifu ya Kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki, Jimbo la Bukoba Mkoani Kagera tarehe 14 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Philip Isdor Mpango, viongozi wengine wa Chama, Serikali, pamoja na Waumini wa Kanisa hilo wakiwa kwenye Misa Takatifu ya Kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki, Jimbo la Bukoba Mkoani Kagera tarehe 14 Oktoba, 2022.
Post Views:
155
Previous Post
Serengeti girls waendelea kujifua kuikabili Ufaransa
Next Post
'Tumuenzi hayati Nyerere kwa kupinga rushwa'
Serikali yachukua hatua kuongeza upatikanaji wa dhahabu ghafi kwa Geita Gold Refinery (GGR) – Waziri Mavunde
‘Bora kuku wa kisasa kuliko kula nyama ya ng’ombe’
India kuwekeza katika sekta ya nishati nchini
Kesi ya DRC dhidi ya Rwanda kusikilizwa Mahakama ya Haki za Binadamu Arusha
NFRA yajiandaa kukabiliana na upungufu wa sukari nchini
Habari mpya
Serikali yachukua hatua kuongeza upatikanaji wa dhahabu ghafi kwa Geita Gold Refinery (GGR) – Waziri Mavunde
‘Bora kuku wa kisasa kuliko kula nyama ya ng’ombe’
India kuwekeza katika sekta ya nishati nchini
Kesi ya DRC dhidi ya Rwanda kusikilizwa Mahakama ya Haki za Binadamu Arusha
NFRA yajiandaa kukabiliana na upungufu wa sukari nchini
Polisi Pwani yamsaka Abdallah kwa tuhuma ya kumuua mzazi mwenzake
Rig za STAMICO zawawezesha wachimbaji kupata taarifa za kina
Rwanda hajaambiwa ukweli wote DRC
Tume yatoa neno kwa waendesha vifaa vya BVR Tanga, Pwani
Wahandisi nchini watakiwa kufanyakazi kwa kuzingatia maadili
Tanzania kinara duniani matumizi ya TEHAMA serikalini
‘Zanzibar imenufaika na ufadhili wa mashirika ya kimataifa katika miradi ya umwagiliaji’
Mapambano dhidi ya biashara haramu ya maliasili yazidi kuimarishwa
Sangu: Baadhi ya mamlaka za nidhamu hazizingatii sheria
Serikali yaagiza vifaa vya kujifungulia vipatikane vituo vya afya