JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hatua hiyo imefikiwa mara baada ya Waziri wa nchi, ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete kuhudhuria katika mkutano wa kimataifa kuhusu soko la ajira uliofanyika…

Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba ametoa wito kwa Wafanyabiashara na wananchi wanaopata fursa ya mikopo ya serikali waweze kurejesha ili wengine nao waweze kukopa. Wito huo ameutoa leo Januari…

NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024

Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa teknolojia za kidijitali: Benki ya NMB iliendeleza kasi ya ukuaji, ikipata matokeo ya kipekee ya kifedha na kiutendaji, yaliyochochewa na…

Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Yusuf Masauni amesema Serikali ya Tanzania imechukua hatua za kuimarisha maeneo ya bahari yaliyohifadhiwa. Amesema hatua hizo zimesaidia kukuza usimamizi endelevu wa uvuvi na kuongeza uwezo wa kuzuia…

Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine

Shambulizi la droni la Urusi lililolenga jumba la makazi katika mji wa Sumy, mashariki mwa Ukraine, limesababisha vifo vya watu tisa. Rais Volodymyr Zelensky amelielezea shambulizi hilo kama janga kubwa la uhalifu wa Urusi, akisisitiza umuhimu wa dunia kuongeza shinikizo…