JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Same limepitisha kiasi cha shilingi bilioni 63.420 kwa mwaka wa fedha 2025/26 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo ndani ya wilaya hiyo. Bajeti hiyo…

SADC watangaza mshikamano na DRC

Mkutano umejiri baada ya wanajeshi 13 kutoka Afrika Kusini na watatu kutoka Malawi, kuuawa katika mapigano Goma nchini DRC, ambapo walikuwa wamepelekwa kama sehemu ya juhudi za kudumisha amani za kikanda. Viongozi wa mataifa ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi…

Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chato WANANCHI wilayani Chato mkoani Geita wamejitokeza kumchangia Rais Samia Suluhu Hassan kiasi cha Sh milioni 1.4 kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uraisi katika uchaguzi mkuu mwaka 2025. Mchango huo umefanyika katika…

Tanzania inatarajiwa mwenyeji Mkutano wa 19 wa Jukwaa la Korosho Afrika 2025

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 19 wa Mwaka wa Jukwaa la Korosho Afrika 2025 wenye lengo la kuonesha fursa za uwekezaji zilizoko kwenye Tasnia ya Korosho kuanzia shambani hadi sokoni. Ameyasema Januari 31,…

Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema imefungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt.Wilbroad Slaa kwa kuwa upande wa Serikali umekata rufaa mbili katika Mahakama ya Rufaa. Hayo yameelezwa leo na Hakimu…