Latest Posts
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
📌Serikali imewekeza zaidi ya bilioni 13 elimu ya Sekondari Chamwino 📌Uboreshaji wa miundombinu shilingi bilioni 17.9 zimetumika 📌Vijiji vyote 47 Chamwino vimewashwa umeme 📌Asema Sekta ya Nishati ipo salama Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Rais…
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Dkt. Richard Masika amekiri kuridhishwa na hatua zinazofanywa na Tume katika utekelezaji miradi ya Umwagiliaji ikiwemo mradi wa ujenzi bwawa laUmwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani…
TPA yapeleka wafanyakazi 23 kuongeza ujuzi nchini Misri
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Chuo cha Arab Academy for Science Technology and Maritime Transport (AASTMT) cha nchini Misri zimesaini randama ya makubaliano ya kushirikiana katika kutoa mafunzo ya shughuli…
Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanyakazi kwa weledi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Tanga na Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hilo. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya…
Mkuu wa shule ajiua kwa kunywa sumu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Shule ya Sekondari Chambo iliyopo katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Zaharani Patrombeyi (44,) amekufa baada ya kunywa kitu kinachodhaniwa kuwa ni sumu. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo, SACP…