Latest Posts
Mwakinyo ashikiliwa na Polisi Tanga kwa tuhuma za kujeruhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linaendelea na uchunguzi wa tukio la Bondia Hassan Mwakinyo (29) tuhuma za kumjeruhi na kumshambulia mkazi wa Sahare Jijini Tanga Mussa Ally (21) mvuvi mkazi wa Sahare Jijini Tanga….
Mramba: Kununua umeme nje ya nchi, haimaanishi kuna upungufu nchini
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kuwa ununuzi wa Umeme kutoka nchi Jirani haimaanishi kuwa nchi iko katika changamoto ya upungufu wa umeme kwa kuwa mpaka sasa Tanzania inazalisha…
Kunenge aungana na jamii, watoto kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaji Nuhu Mruma, amehimiza ktika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadan ni muhimu kwa Watanzania kuendelea kushikamana, kuwa wamoja, na kujali yatima, hasa wale walio na mahitaji…