Latest Posts
Hivi ndivyo CCM inavyoiishi misingi ya Azimio la Arusha
Na John Francis Haule, JamhuriMedia, Arusha Kila ifikapo Februari 5 kila mwaka CCM huazimisha kumbukizi ya kuundwa kwake ambako kulifanyika mwaka 1977. Hivyo huu mwaka 2025 CCM ina timiza miaka 48 tangu kuasisiwa kwake. Na kwa kipindi hichi chote CCM…
Baada ya kumaliza kazi ya kupeleka umeme vijijini sasa kasi inahamia vitongojini
📌 Asema upelekaji umeme vitongojini umefikia asilimia 52.3 📌 Asisitiza umeme kufika maeneo ya uchimbaji madini Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kuwa hadi kufikia Januari, 2025, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imekamilisha upelekaji wa umeme…
Waziri Chana asisitiza ajenda ya kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali na waharibifu kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi…
Wizara ya Afya Somalia yaichagua Tanzania kupitia MSD kushirikiana kwenye ugavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Afya nchini Somalia imeichagua Tanzania kupitia Bohari ya Dawa (MSD) kushirikiana kwenye masuala mbalimbali yanayohusu mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya kwa kubadilishana uzoefu katika maeneo ya mifumo, ununuzi, usambazaji…