Latest Posts
NCT yaendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa astashahada
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) kimeendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa Astashahada na Stashada, kuonesha kwa vitendo kile walichojifunza katika muhula wa kwanza wa masomo. Akizungumza katika hafla fupi wakati…
LHRC yashinda kesi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu leo imetoa hukumu ya mashauri saba yaliyowasilishwa mahakamani hapo kwa nyakati tofauti mojawapo likiwa shauri kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) pamoja na…
TMA,EMEDO waongeza nguvu usambazaji taarifa za hali ya hewa ziwa Victoria
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika kuendelea kuboresha usambazaji wa taarifa za hali ya hewa kwa jamii, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetembelewa na Wataalamu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira na Maendeleo ya Kiuchumi…
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, akisisitiza maendeleo na uongozi bora
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa chama hicho, yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Aidha…
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
Rais Dk Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi wametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha kiongozi wa kiroho wa madhehebu ya Ismailia duniani na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan. Rais Samia amesema…
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeelezea hatua ya kusitishwa mapigano iliyotangazwa na waasi wa M23 mashariki mwa nchi hiyo kama “mawasiliano ya uongo.” Kulingana na msemaji wa serikali ya Kongo Patrick Muyaya, wanachosubiri kwa sasa ni kuondoka nchini…