Latest Posts
Majaliwa : Tutaendelea kujiimarisha kiuchumi
*Ampongeza Rais Dkt. Samia kwa kuendeleza mahusiiano ya Kimataifa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inajiimarisha katika kukuza uchumi wake kwa kutumia rasilimali zilizopo ili kuweza kumudu kutekeleza maeneo yote muhimu yakiwemo ya sekta ya afya, elimu na maji….
CBE kuanza kutoa PhD ya infomatiki za baishara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinatarajia kuanzisha program ya Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Infomatiki ya Biashara ili kuleta mabadiliko ya uchumi wa kidijitali na teknolojia katika kufanya biashara za kidijitali kuendana…
Trump apiga marufuku wanamichezo wa kike waliobadili jinsia kushindana mashindano ya wanawake
Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo linalozuia wanawake waliobadili jinsia kushindana katika michezo ya wanawake. “Kuanzia sasa, michezo ya wanawake itakuwa ya wanawake tu,” Trump alisema, akizungukwa na wanariadha wanawake na wasichana kabla ya kusaini agizo hilo huko…
Amuua mpenzi wake, naye ajiua kwa kujinyonga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Adamu Kailanga (30), mfanyabiashara na Mkazi wa Mtaa wa Mkudi wilayani Ilemela mkoani Mwanza, anadaiwa kumuua mpenzi wake aitwaye Benadeta Silvester, (21), kwa kumkaba koo kisha naye kujiua kwa kujinyonga na mtandio. Hivyo Jeshi la…
Prince Rahim Al-Hussaini ateuliwa kuwa Aga Khan mpya
Prince Rahim Al-Hussaini ametangazwa kuwa Aga Khan mpya, kiongozi wa kiroho wa mamilioni ya Waislamu wa madhehebu ya Shia ya Ismailia. Atachukua nafasi hiyo kutoka kwa babake Prince Karim Aga Khan, aliyefariki Jumanne akiwa na umri wa miaka 88. Uteuzi…
NCT yaendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa astashahada
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) kimeendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa Astashahada na Stashada, kuonesha kwa vitendo kile walichojifunza katika muhula wa kwanza wa masomo. Akizungumza katika hafla fupi wakati…