Latest Posts
Tunataka kuwa championi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 – Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeshiriki kikamilifu katika kutoa maoni katika utengenezaji na uandaaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ili kuhakikisha kuwa Dira…
Dodoma jiji kinara matumizi ya teknolojia kwenye elimu – mbunge Mavunde
▪️Agawa Kompyuta na Printa kwa shule zote za Sekondari za Jiji la Dodoma ▪️Azindua maabara ya lisasa ya Kompyuta ▪️Matumizi ya teknolojia yaongeza ufaulu ▪️Rais Samia apongezwa kwa kuboresha miundombinu ya elimu Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh….
Masoko ya hisa ya kimataifa yaporomoka
Masoko ya hisa barani Asia yameshuka baada ya mauzo ya hisa nchini Marekani kupanda kutokana Rais Donald Trump kutotoa hakikisho kwamba ushuru wake unaweza kusababisha mdororo katika uchumi mkubwa zaidi duniani. Kuporomoka kwa hisa hizo kumefuatia maoni ya Trump kwamba…
Marekani yakamilisha mchakato wa kufuta miradi 5,200 ya USAID
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio amesema mchakato wa serikali ya Rais Donald Trump wa kusitisha misaada kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la USAID umekamilika. Kwenye mtandao wa X, Rubio amesema baada ya wiki sita za…
Papa ataendelea kubaki hospitali kwa matibabu
Madaktari wamesema Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis atasalia hospitalini kwa siku nyingine kadhaa. Taarifa iliyotolewa na Vatican jana Jumatatu ilisema papa Francis anaendelea vizuri na matibabu. Taarifa hiyo iliongeza Papa Francis licha ya kuonekana kupata nafuu siku chache zilizopita,…
Tanzania kuadhimisha kitaifa Siku ya Haki ya Mtumiaji Machi 15 Morogoro
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA inatarajiwa kuungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani Machi 15, 2025 ambapo kitaifa maadhimisho hayo yatafanyika mjini Morogoro yakiongozwa na kauli mbiu isemayo ‘Matumizi endelevu ya rasilimali…