JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sillo : Msipande bodaboda mishikaki

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo, amewaagiza wadau wa usalama barabarani kudhibiti ajali za barabarani ambazo zinachangia kupoteza nguvu kazi ya taifa. Akijibu swali bungeni mjini Dodoma kuhusu usafiri wa bodaboda, Naibu Waziri Sillo alisema inasikitisha…

Afrika Kusini yapeleka wanajeshi 800 Lubumbashi

Afrika Kusini imepeleka wanajeshi zaidi na zana za kivita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikiwa ni wiki chache tu baada ya askari wake 14 kuuawa kwenye mapigano na waasi wa M23 mashariki mwa nchi hiyo. Vyanzo kadhaa vya kisiasa…

‘Watumishi wanaoshinda rufaa warudishwe kazini’

Ofisi ya Rais ,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imewaagiza waajiri wa taasisi za umma kuwarudisha kazini watumishi wanaoshinda mashauri ya rufaa za kinidhamu kadiri ya maelekezo yaliyotoka kwenye Tume ya Utumishi wa Umma. Naibu Waziri wa Ofisi…

Biteko : Afrika tunapaswa kutumia rasilimali tulizonazo kuzalisha umeme wa kutosha

📌 Asema pamoja na dunia kuhamia kwenye nishati jadidifu, makaa ya mawe yatasaidia Afrika kuwa na umeme wa kutosha 📌 Aeleza mafanikio sekta ya nishati Tanzania katika Jukwaa la Mawaziri Wiki ya Nishati India 📌 Tanzania yapongezwa kwa miradi ya…

Kituo cha mfano Katente chaongoza makusanyo Mbogwe

Afisa Madini atoa Wito wachimbaji kuvitumia Abainisha fursa za Uwekezaji Sekta ya Uchimbaji mdogo Mbogwe Mbogwe Uwepo wa Kituo cha Mfano cha Katente katika Mkoa wa Kimadini Mbogwe umeleta mapinduzi katika ukusanyaji wa Maduhuli ya Serikali kufuatia Wachimbaji Wadogo wa…

Tume ya Madini yaweka mikakati ya kuinua sekta ya madini

Dodoma Leo Februari 11, 2025 Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Janet R. Lekashingo ameongoza kikao cha Kamisheni ya Tume ya Madini kilichofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Tume ya Madini kwa…