Latest Posts
Majaliwa aitaka TARURA kuwasimamia wakandarasi binafsi
▪️Asisitiza Serikali itaendelea kuwawezesha wawekezaji wazawa* *▪️Aeleza mpango wa Serikali wa kukabiliana na ugonjwa wa Malaria nchini* Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wakala wa Brabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ihakilishe inatoa kandarasi za ujenzi na ukarabati wa barabara kwa…
Mkuu wa zamani wa Google ahofia AI inaweza kutumiwa na magaidi
Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Google anahofia kwamba taarifa za kijasusi za Akili Mnemba zinaweza kutumiwa na magaidi au ‘majimbo matapeli’ kuwadhuru watu wasio na hatia. Eric Schmidt aliiambia BBC: “Hofu halisi niliyo nayo sio ile ambayo watu wengi huzungumza…
Baadhi ya ardhi zitarudi kwa Ukraine – Trump
Wakati wa maelezo mafupi ya Rais wa Marekani Donald Trump kwa waandishi wa habari katika Ikulu ya White House hapo awali, tulimuuliza jinsi mipaka ya Ukraine inaweza kuonekana ikiwa vita vitaisha – Je ramani zingeonekana kama zilivyokuwa kabla ya 2014?…
Makanisa yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano Goma
Ujumbe wa makanisa ya Kikatoliki na Kiprotestanti umetoa wito wa kusitishwa mapigano mjini Goma wakati wa ziara ya viongozi wa waasi waliouteka mji huo mashariki mwa DRC. Askofu wa Kanisa Katoliki Donatien Nshole amesema makanisa yote mawili yameanza juhudi za…
TMA : Kuna ongezeko la joto kwa baadhi ya maeneo nchini
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kumekuwepo na ongezeko la joto katika baadhi ya maeneo nchini hususan yapatayo misimu miwili ya mvua kwa mwaka kwa miezi ya hivi karibuni. Hali hii imesababishwa na kusogea kwa jua la utosi…
Vilio watia nia CCM
*Ni wanaotaka kugombea udiwani na ubunge katika maeneo mbalimbali *Utitiri wa idadi ya wajumbe wapya wanaopiga kura za maoni yawatisha *Watalazimika kuweka mawakala matawini watakaosimamia kura zao *Mfumo mpya wa mchujo wa majina ya wagombea wageukamwiba kwao Na Mwandishi Wetu,…