JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Papa alazwa, hali yake yaimarika

Papa Francisko, mwenye umri wa miaka 88, amelazwa katika Hospitali ya Gemelli mjini Roma kutokana na maambukizi ya njia ya hewa yanayosababishwa na bronkiti. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Vatican, hali yake inaendelea kuimarika baada ya kupatiwa matibabu stahiki. Kwa…

Deloitte yaongeza nguvu Tuzo za TEHAMA 2025

WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kwa kushirikiana na SoftVentures, Tume ya TEHAMA (ICTC) na Chama cha Watoa Huduma za Intaneti Tanzania (TISPA), inatangaza kuingia ushirikiano wa kimkakati na Deloitte kwa ajili ya Tuzo za TEHAMA 2025, pamoja na…

Chongolo apongeza PPP kwa kuibua miradi nchini

MKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta za Umma na Sekta Binafsi (PPP) Davidi Kafulila, kwa kuendeleza zoezi la kuibua miradi katika maeneo mbalimbali nchini. Chongolo ametoa pongezi hizo ofisini…

Dk Biteko aikaribisha India kuwekeza miradi ya umeme jua nchini

* Asema suala la Tanzania kuwa na nishati ya uhakika si la kusubiri * Taasisi ya Kimataifa ya Umeme Jua (ISA) yaonesha nia ya kuwekeza  *Kituo cha umahiri wa umeme jua kuzinduliwa Arusha Juni mwaka huu Naibu Waziri Mkuu na…