Latest Posts
Rais Samia akerwa migogoro ya familia
RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kujenga jamii na taifa kiroho ikiwa ni njia ya kukabili kuporomoka kwa maadili hasa kwenye familia. Rais Samia alisema hayo jana wilayani Sumbawanga kupitia hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa…
Viwanja vya ndege kuchunguzwa kudhibiti uhalifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar SERIKALI imeanza uchunguzi maalumu kubaini upungufu katika viwanja vyote vya ndege nchini na kuzifanyia kazi ikiwemo mifumo, utendaji na miundombinu ili kuboresha sehemu husika. Lengo ni kurahisisha uingiaji na utokaji wa wageni ikiwamo watalii wanaokuja…
Dk Biteko ateta na viongozi wa CCM Bukombe
📌 Asema uimara wa CCM unatokana na misingi imara iliyowekwa na Waasisi 📌 Amshukuru Rais Dkt. Samia kwa fedha za miradi Bukombe 📌 Asisitiza umuhimu wa maandalizi ya uchaguzi Serikali za Mitaa 📌 Ataka kila balozi kusimamia vema shina lake…
Ruhsa vyama vya siasa kuweka mawakala uboreshaji wa daftari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Vyama vya siasa vitaruhusiwa kuweka wakala mmoja kwenye kila kituo cha kuandikisha wapiga kura kwenye uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kuzinduliwa mkoani Kigoma, tarehe 01 Julai, 2024. Hayo yamesemwa…
Waziri Jafo : Asilimia 79.3 ya miti iliyopandwa imestawi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Nkasi Kaskazini Aida Khenan aliyeuliza kuhusu utoaji wa taarifa ya mazoezi ya upandaji wa miti, Dkt. Jafo amesema Ilani ya Uchaguzi imeelekeza kila halmashauri nchini kupanda miti milioni…
Mwenyekiti Serikali za Mtaa Kivule aishauri Serikali kuweka mikakati ya ujenzi wa miundombinu Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa Kivule, Amos Habgaya ameshauri Serikali uweke mkakati maalum kwa ajili ya kujenga miundombinu ya Jiji la Dar es Salaam kwani bila kufanya hivyo changamoto za barabara kumalizika itakuwa…