Latest Posts
Serikali inathamini mchango wa matumizi ya nishati safi zote za kupikia
📌 Yawatoa hofu sekta binafsi kudhani nishati safi ni gesi pekee 📌 Mchango wa gesi asilia nishati safi kuchangia asilimia10 miaka kumi ijayo 📌 Umoja wa Ulaya kuendelea kufadhili utekelezaji wa Nishati safi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam…
Wanne wakamatwa wakitorosha mifugo 70 kwa njia za panya Longido
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo kwa kushirikiana na Mizara ya Mifugo na Uvuvi wamefanikiwa kukamata watuhumiwa wanne na mifugo 70 aina ya Ng’ombe ambayo ilikuwa ikitoroshwa Kwenda nchi Jirani…
Waziri wa vita wa Israel Benny Gantz ajiuzulu
Waziri wa vita katika baraza la dharura nchini Israel Benny Gantz amejiondoa serikalini katika ishara ya kuzidisha mgawanyiko kuhusu mipango ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu baada ya mzozo kuhusu Gaza. Akizungumza wakati wa mkutano na wanahabari mjini Tel Aviv Jumapili…
Hamas yaihimiza Marekani kuishinikiza Israel kusitisha vita
Afisa mkuu wa kundi la Hamas, Sami Abu Zuhri ameihimiza Marekani kuishinikiza Israel kusitisha vita vyake katika Ukanda wa Gaza kabla ya ziara ya Waziri wa Mambo Nje wa Marekani Antony Blinken. Abu Zuhri ameongeza kuwa Hamas iko tayari kukubaliana…
Watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi wa Kiislamu waua zaidi ya 80 Kongo
Idadi ya waliouawa imeongezeka hadi 41 kufuatia shambulio la Ijumaa lililofanywa na watu wanaoshukiwa kuwa waasi wa Kiislamu kwenye vijiji vya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, msemaji wa jeshi la Kongo alisema, huku jumla ya watu waliouawa eneo…