Latest Posts
Mtoto mlemavu wa ngozi auawa kikatili, akatwa ulimi na mikono
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Mwili wa mtoto Asimwe Novath (2) aliyetekwa kwa Zaidi ya wiki mbili umepatikana Juni 17, ukiwa umefungwa kwenye mfuko (sandarusi) huku ukiwa hauna baadhi ya viungo kama ulimi na mikono yote miwili. Tukio la kutekwa kwa…
Mbunge apongeza Kampuni ya Mwiba kutoa chakula cha bure wanafunzi 850 Meatu
Na Mussa Juma ,JamhuriMedia,Dodoma Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Simiyu, Minza Mgika ameipongeza Kampuni ya Utalii ya Mwiba Holding Ltd ambayo imewekeza wilayani Meatu mkoa wa Simiyu ,kwa kuendelea kutoa chakula cha bure kwa wanafunzi 850 wa shule ya…
Waombolezaji wafariki katika msafara wa mazishi wa Makamu wa Rais wa Malawi
Watu wanne, akiwemo mwanamke mjamzito, wamepoteza maisha baada ya gari lililokuwa kwenye msafara uliokuwa umebeba mwili wa marehemu Makamu wa Rais wa Malawi Saulos Chilima kuwagonga waombolezaji, polisi walisema. Watu wengine kumi na wawili walijeruhiwa katika tukio hilo la Jumapili…
Papa Francis azitaka mamlaka kukomesha mauaji mashariki mwa Congo
Baada ya sala ya Jumapili katika Kanisa Katoliki Jumapili, Papa Francis ametoa wito tena wa ulinzi wa raia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya mashambulizi ambayo yameua mamia katika wiki za hivi karibuni. “Habari za kusikitisha za…
Netanyahu alivunja Baraza lake la Vita
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelivunja Baraza lake la Vita ambalo husimamia operesheni za kijeshi huko Gaza. Mapigano yanaendelea pia kuripotiwa katika ardhi ya Palestina huku idadi ya vifo pia ikiongezeka. Taarifa ya kuvunjwa kwa baraza hilo la vita…